Mshambuliaji wa Leicester City, Jamie Vardy akiwa hewani kupiga mpira kichwa dhidi ya wachezaji wa Chelsea katika mchezo wa mwisho wa Ligi Kuu ya England jioni ya leo Uwanja wa King Power timu hizo zikitoka sare ya 0-0. Kwa sare hiyo, Chelsea inamaliza nafasi ya tatu kwenye msimamo wa Ligi Kuu na pointi zake 72, moja zaidi ya Tottenham Hotspur waliomaliza nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment