Mshambuliaji wa kimataifa wa Gabon, Pierre-Emerick Aubameyang akifurahia baada ya kufunga hat trick kwa mabao yake ya dakika za 11, 69 na 88 ikiwalaza wenyeji, Valencia 4-2 Uwanja wa katika mchezo wa marudiano wa UEFA Europa League. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Alexandre Lacazette dakika ya 50 wakati ya Valencia yamefungwa na Kevin Gamiero yote dakika ya 11 na 58 na kwa matokeo hayo, The Gunners inakwenda fainali kwa ushindi wa jumla wa 7-3 baada ya kushinda 3-1 London na sasa itamenyana na Chelsea PICHA ZAIDI GONGA HAPA
300-1! Exeter stunned as wonder horse Blowers breaks 36-year record to
become longest-priced winner in British racing history
-
It has been the year for shocks on racecourses but the biggest of all
arrived at Exeter yesterday when Blowers became the longest priced winner
in British ...
5 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment