Mshambuliaji Mgabon wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake dakika za 52 na 63 ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Burnley leo Uwanja wa Turf Moor na kumaliza nafasi ya nne kwa pointi zake 70, ikizidiwa moja na Tottenham Hotspur na mbili na Chelsea. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Eddie Nketiah dakika ya 90 na ushei, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 65 na kwa matokeo hayo Aubameyang anamaliza msimu na mabao 22 sawa na Waafrika wenzake, Mmisri Mohamed Salah na Msenegal Sadio Mane wote wa Liverpool ambao kwa pamoja ndiyo wafungaji bora wa msimu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australian Grand Prix - Formula One: Live leaderboard and lap-by-lap
updates as Lando Norris starts on pole ahead of season curtain-raiser, with
Lewis Hamilton eighth
-
Follow Mail Sport's live blog for the latest leaderboard standings and
lap-by-lap updates in the 2025 Australian Grand Prix.
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment