Mshambuliaji Mgabon wa Arsenal, Pierre-Emerick Aubameyang akikimbia kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili timu yake dakika za 52 na 63 ikiibuka na ushindi wa 3-1 dhidi ya Burnley leo Uwanja wa Turf Moor na kumaliza nafasi ya nne kwa pointi zake 70, ikizidiwa moja na Tottenham Hotspur na mbili na Chelsea. Bao lingine la Arsenal lilifungwa na Eddie Nketiah dakika ya 90 na ushei, wakati la Burnley limefungwa na Ashley Barnes dakika ya 65 na kwa matokeo hayo Aubameyang anamaliza msimu na mabao 22 sawa na Waafrika wenzake, Mmisri Mohamed Salah na Msenegal Sadio Mane wote wa Liverpool ambao kwa pamoja ndiyo wafungaji bora wa msimu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment