Kiungo wa zamani wa Bayern Munich, Sebastian Rode akishangilia baada ya kuifungia bao la ushindi Eintracht Frankfurt ikiilaza 2-0 Benfica katika mchezo wa marudiano Robo Fainali Europa League usiku wa jana Uwanja wa PSD Bank Arena mjini Frankfurt am Main na kufanya sare ya jumla ya 4-4 lakini akiiwezesha timu yake kusonga mbele kwa mabao ya ugenini kufuatia kufungwa 4-2 kwenye mchezo wa kwanza PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ange Postecoglou admits there are 'some outstanding candidates' to replace
him as Tottenham boss as Mauricio Pochettino waits in the wings
-
Ange Postecoglou has vowed not be distracted by uncertainty about his
future at Tottenham and has no issues with Mauricio Pochettino dreaming of
a return t...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment