Lionel Messi akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 16 na 20 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Bao lingine lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 61 na Barcelona inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 kufuatia kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Manchester na itakutana na mshindi wa jumla kati ya Porto na Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
28 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment