Lionel Messi akishangilia kishujaa baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 16 na 20 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa marudiano wa Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Nou Camp. Bao lingine lilifungwa na Philippe Coutinho dakika ya 61 na Barcelona inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-0 kufuatia kushinda 1-0 kwenye mchezo wa kwanza Manchester na itakutana na mshindi wa jumla kati ya Porto na Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Frank Lampard makes shock admission about his second stint as Chelsea boss
as he opens up on the state he found the club in under its current ownership
-
The Blues were struggling in the early days of their new ownership
following Todd Boehly and BlueCo's takeover of the club in spring 2022 -
purchasing it f...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment