Mohamed Salah akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia bao la pili Liverpool dakika ya 53 kufuatia Sadio Mane kufunga la kwanza dakika ya 51 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea leo Uwanja wa Anfield kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England. Ushindi huo unairejesha Liverpool kileleni ikifikisha pointi 85 baada ya kucheza mechi 34, sasa ikiizidi Manchester City pointi mbili ambayo hata hivyo ina mchezo mmoja mkononi PICHA ZAIDI GONGA HAPA
WNBA superstar Sophie Cunningham turns heads with viral bikini pic
alongside her three blonde friends
-
The 28-year-old appears to be enjoying the offseason with her friends and
kept turned heads with a group picture over the weekend.
35 minutes ago
0 comments:
Post a Comment