Marcos Alonso akitumia makosa ya kipa David De Gea kuipatia bao la kusawazisha Chelsea dakika ya 43 kufuatia Juan Mata kuanza kuifungia Manchester United dakika ya 11 timu hizo zikitoka sare ya 1-1 katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Old Trafford. Kwa sare hiyo Chelsea inafikisha pointi 68 baada ya kucheza mechi 36 na kuendelea kukamata nafasi ya nne, wakati Man United inayofikisha pointi 65 katika mchezo wa 36 pia inabaki nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Leicester set unwanted Football League record as miserable Premier League
run continues with Newcastle defeat
-
Jacob Murphy scored twice in the opening 11 minutes before Harvey Barnes
added a third to pile the misery on his former club.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment