Bondia Amir Khan akiwa chini baada ya kuangushwa na mpinzani wake, Terence Crawford raundi ya kwanza kwenye pambano la uzito wa Welter asubuhi ya leo ukumbi wa Madison Square Garden mjini New York, Marekani. Khan aliinuka na kuendelea na pambano kabla ya kujiuzulu raundi ya sita akidai kupigwa chini ya mkanda, hivyo Crawford kuondoka na taji lake la WBO kwa ushindi wa Technical Knockout (TKO) akiendeleza rekodi ya kutopoteza pambano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
39 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment