Marcos Alonso (kushoto) akishangilia na Olivier Giroud baada ya kuifungia Chelsea bao pekee dakika ya 86 ikiilaza 1-0 Slavia Praha katika mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Sinobo mjini Praha na timu hizo zitarudiana Aprili 18 Uwanja wa Stamford Bridge, London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Akwa Ibom retirees urge Eno to address pension delays
-
From Isaac Job, Uyo Retired primary school teachers in Akwa Ibom State have
appealed to the state governor, Pastor Umo Eno, not to allow the issue of
loc...
13 minutes ago
0 comments:
Post a Comment