Ousmane Dembele wa Barcelona akikosa bao la wazi yeye na kipa Roberto Santamaria wa Huesca kipindi cha kwanza leo Uwanja wa El Alcoraz mjini Huesca kwenye mchezo wa La Liga timu hizo zikitoka sara ya 0-0 huku kocha Ernesto Valverde akimuanzisha kipa Marc-Andre Ter Stegen pekee katika wachezaji wake wa kikosi cha kwanza na kuwapumzisha wengine wote akiwemo Lionel Messi kwa ajili ya mchezo wa marudiano wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya dhidi ya Manchester United Jumanne Uwanja wa Camp Nau PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jack Grealish 'slapped in the face by Man United fan': Man, 20, is arrested
and charged with assault - in new crowd shame after vile Phil Foden mum
chants
-
EXCLUSIVE BY MIKE KEEGAN: Jack Grealish was making his way off the field
following Sunday's 0-0 draw when he was beckoned over by a member of the
crowd.
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment