Kiungo Aaron Ramsey akishangilia baada ya kuifungia Arsenal bao la kwanza dakika ya 15 kabla ya mpira uliopigwa na Lucas Torreira kumbabatiza beki Kalidou Koulibaly aliyejifunga dakika ya 25 kuipa timu hiyo bao la pili katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Napoli kwenye mchezo wa kwanza wa Robo Fainali ya UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Emirates mjini London na timu hizo zitarudiana Aprili 18 Uwanja wa San Paolo mjini Napoli PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Medeama boss Ibrahim Tanko hopes to see improvement in team’s finishing
-
Medeama SC coach Ibrahim Tanko is eager to see his team improve their
finishing after they struggled to capitalise on scoring opportunities in
their 2-1 wi...
37 minutes ago
0 comments:
Post a Comment