Kinda mwenye kipaji wa Ajax, Matthijs de Ligt akishangilia baada ya kuifungia timu yake bao la ushindi dakika ya67 usiku wa jana Uwanja wa Allianz mjini Torino ikiwalaza 2-1 wenyeji, Juventus katika mchezo wa marudiano wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Cristiano Ronaldo alianza kuifungia Juventus dakika ya 28, kabla ya Donny van de Beek kusawazisha dakika ya 34 na kwa matokeo hayo, Ajax inakwenda Nusu Fainali kwa ushindi wa jumla wa 3-2 kufuatia sare ya 1-1 kwenye mchezo wa kwanza Amsterdam na itamenyana na mshindi wa jumla kati ya Tottenham na Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe reveals Cristiano Ronaldo gives him 'a lot of advice' as he
admits it's 'very special' to equal Real Madrid legend's debut season goal
tally after brace against Leganes
-
Kylian Mbappe has revealed that he often receives words of advice from
Cristiano Ronaldo while expressing his pride at matching the amount of
goals the Por...
32 minutes ago
0 comments:
Post a Comment