Sergio Aguero akishangilia baada ya kuifungia bao pekee Manchester City dakika ya 63 ikiilaza 1-0 Burnley katika mchezo wa Ligi Kuu ya England Uwanja wa Turf Moor leo. Ushindi huo unaifanya Man City ifikishe pointi 92 baada ya kucheza mechi 36 na kurejea kileleni kwenye Ligi Kuu ya England ikiizidi kwa pointi moja Liverpool PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
44 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment