Mshambuliaji Raheem Sterling akishangilia kwa furaha baada ya kuifungia England hat-trick kwa mabao yake ya dakika za 24, 62 na 68 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Jamhuri ya Czech kwenye mchezo wa ufunguzi wa Kundi A kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Three Lions yalifungwa na Harry Kane kwa penalti dakika ya 45 na Tomas Kalas aliyejifunga dakika ya 84. Mechi nyingine ya Kundi A jana, Bulgaria ililazimishwa sare ya 1-1 na Montenegro jana mjini Sofia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Lamine Yamal is accused of showing a 'lack of respect' to the King of Spain
after fans spotted surprise act during Barcelona's Copa del Rey
celebrations after chaotic win over Real Madrid
-
The 17-year-old played 120 minutes for his side in the final at the Estadio
de La Cartuja, with Madrid shown three red cards and Jude Bellingham
restrained...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment