Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akijaribu kuwatoka mabeki wa Ukraine usiku wa jana Uwanja wa Luz mjini Lisbon katika mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 alipokuwa akiichezea Ureno kwa mara ya kwanza tangu baada ya Fainali za kombe la Dunia mwaka jana Urusi. Timu hizo hazikufungana na mechi nyingine ya Kundi B jana, Luxembourg iliichapa Lithuania 2-1 mjini Luxembourg PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Chris Eubank Jr discharged from hospital two days after victory over Conor
Benn - as fighter issues statement to fans
-
Chris Eubank Jr's has been discharged from hospital two days after being
admitted following his thrilling victory over Conor Benn on Saturday night.
12 minutes ago
0 comments:
Post a Comment