• HABARI MPYA

        Saturday, March 23, 2019

        RONALDO AREJEA KIKOSINI URENO IKILAZIMISHWA SARE 0-0 NA UKRAINE

        Mshambuliaji Cristiano Ronaldo akijaribu kuwatoka mabeki wa Ukraine usiku wa jana Uwanja wa  Luz mjini Lisbon katika mchezo wa Kundi B kufuzu Euro 2020 alipokuwa akiichezea Ureno kwa mara ya kwanza tangu baada ya Fainali za kombe la Dunia mwaka jana Urusi. Timu hizo hazikufungana na mechi nyingine ya Kundi B jana, Luxembourg iliichapa Lithuania 2-1 mjini Luxembourg 
        • Blogger Comments
        • Facebook Comments

        0 comments:

        Item Reviewed: RONALDO AREJEA KIKOSINI URENO IKILAZIMISHWA SARE 0-0 NA UKRAINE Rating: 5 Reviewed By: Mahmoud Bin Zubeiry