Mwanasoka Bora wa Dunia, Luka Modric wa Croatia akipiga hesabu wakati wa mchezo wa Kundi E kufuzu Euro 2020 dhidi ya wenyeji, Hungary Uwanja wa Groupama Arena mjini Budapest jana. Hungari ilishinda 2-1, mabao yake yakifungwa na Adam Szalai dakika ya 34 na Mate Patkai dakika ya 76 huku la Croatia likifungwa na Ante Rebic dakika ya 13 na mechi nyingine ya kundi hilo jana, Wales iliifunga 1-0 Slovakia mjini Cardiff PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Footy star could play for his club on Saturday and be behind bars on Tuesday
-
Tigers star Noah Balta could play for Richmond on Saturday and be jailed
for assault on Tuesday after controversial decision to allow him to line up
agains...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment