Mshambuliaji na Nahodha wa Argentina, Lionel Messi akisikitika baada ya timu yake kuchapwa mabao 3-1 na Venezuela Uwanja wa Wanda Metropolitano mjini Madrid kwenye mchezo wa kirafiki. Mabao ya Venezuela yalifungwa na Salomon Rondon dakika ya sita, Jhon Murillo dakika ya 44 na Josef Martinez dakika ya 75 kwa penalti wakati la Argentina lilifungwa na Lautaro Martínez dakika ya 59 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Australia's hottest footy WAG Chelsea Becirevic stuns as she sunbathes on a
break from her AFL star boyfriend Ivan Soldo
-
Last year, Chelsea Becirevic briefly left Adelaide to start a new life
overseas. Now she has once again jetted out of the City of Churches to hit
one of he...
29 minutes ago
0 comments:
Post a Comment