Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia mabao yote Barcelona dakika ya 71 na 89 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Camp Nou. Kwa ushini huo, Barcelona inafikisha pointi 69 baada ya kucheza mech 29 na kuendelea kuongoza La Liga, ikifuatiwa na Atletico Madrid pointi 56 na Real Madrid pointi 54
Polio: Bauchi govt, UNICEF, partners flag off 2025 immunisation campaign
-
Receives 2.5 million doses of Novel Oral Polio vaccine(NOPV) Engages 160
Monitors From Paul Orude, Bauchi Bauchi State Government in collaboration
with ...
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment