Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao mawili dakika za 17 kwa penalti na 78 katika ushindi wa 5-1 dhidi ya Lyon kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Camp Nou. Mabao mengine yamefungwa na Philippe Coutinho dakika ya 31, Gerard Pique dakika ya 81 na Ousmane Dembele dakika ya 86, wakati la Lyon limefungwa na Lucas Tousart dakika ya 58 na Barcelona inakwenda Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 5-1 baada ya sare ya 0-0 kwenye mchezo wa kwanza Ufaransa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Who is Cam Ward? Meet the NFL's newest star who went from 'overweight' and
overlooked to the 2025 No. 1 pick
-
Accompanied by his parents, Ward was the first player to hear his name
called by Roger Goodell after a tremendous end to his college career in
Miami vaulte...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment