Mshambuliaji wa Wolverhampton Wanderers, Raul Jimenez (katikati) akikimbia kushangilia baada ya kuifungia bao la kwanza timu yake dakika ya 70 ikiilaza Manchester United 2-1 katika mchezo wa Robo Fainali Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Molineux mjini Wolverhampton, West Midlands. Bao la pili lilifungwa na Diogo Jota dakika ya 76, wakati bao la Man United lilifungwa na Marcus Rashford dakika ya 90 na ushei PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ruben: This is why we love this sport
-
The boss still couldn't comprehend what his team achieved after our
stunning comeback in M16,
26 minutes ago
0 comments:
Post a Comment