Eden Hazard akishangilia na wenzake baada ya kufunga mabao mawili dakika za 45 kwa penalti na 88 katika ushindi wa 3-1 wa Ubelgiji dhidi ya Urusi usiku wa jana Uwanja wa Roi Baudouin mjini Brussells, Ubelgiji. Bao lingine la la Ubelgiji lilifungwa na Youri Tielemans dakika ya 24, wakati bao la Urusi lilifungwa na Denis Cheryshev dakika ya 16 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ghana U-15 Girls beat Uganda to win 2025 African Schools Football
Championship
-
Ghana's U-15 girls' team, the Black Damsels, captured the 2025 African
Schools Football Championship title with a commanding 2-0 victory over
Uganda on Sat...
47 minutes ago
0 comments:
Post a Comment