Olivier Giroud akishangilia baada ya kuifungia Arsenal mabao matatu dakika ya tano, 33 na 59 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya Dynamo Kiev kwenye mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa NSK Olimpiki mjini Kiev. Mabao mengine yalifungwa na Marcos Alonso dakika ya 45 na ushei na Callum Hudson-Odoi dakika ya 78 na Chelsea inakwenda robo fainali kwa ushindi wa jumla wa 8-0 baada ya kushinda 3-0 kwenye mchezo wa kwanza London PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Revealed: Antonio Rudiger could be hit by staggering ban following Copa Del
Rey meltdown in dramatic loss to Barcelona as even the German FA slam his
'unacceptable' behaviour
-
The defender lost his cool and received a red card for throwing an ice pack
towards referee Ricardo de Burgos Bengoetxea after arguing against a
decision i...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment