Memphis Depay (kushoto) na Georginio Wijnaldum wakishangilia baada ya wote kufunga katika ushindi wa 4-0 Uholanzi dhidi ya Belarus kwenye mchezo wa kwanza wa Kundi C kufuzu Euro 2020 usiku wa jana Uwanja wa Feijenoord mjini Rotterdam. Depay alifunga mawili dakika ya kwanza na 55 kwa penalti na Wijnaldum alifunga la pili dakika ya 21, wakati la nne lilifungwa na Virgil van Dijk dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Michael Owen claims Arsenal star should be 'SCREAMING' at his team-mate in
the dressing room after costly error in 2-2 draw with Crystal Palace
-
Michael Owen believes an Arsenal star should be calling his team-mate out
in the dressing room after the Gunners were held to a 2-2 draw by Crystal
Palace ...
1 hour ago
0 comments:
Post a Comment