Robert Lewandowski (kulia) akifurahia baada ya kuifungia Bayern Munich mabao mawili dakika za 37 na 85 katika ushindi wa 6-0 dhidi ya Wolfsburg kwenye mchezo wa Bundesliga usiku wa Jumamosi Uwanja wa Allianz Arena mjini Munich. Mabao mengine yamefungwa na Serge Gnabry dakika ya 34, James Rodríguez dakika ya 52, Thomas Müller dakika ya 76 na Joshua Kimmich dakika ya 82 na kwa ushindi huo, Bayern Munich inafikisha pointi 57 baada ya kuheza mechi 25 na kupanda kileleni mwa Bundesliga sasa ikiizidi kwa weastani wa mabao tu Borussia Dortmund inayofuatia nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Les Bleus cruise! Townsend concedes France were worthy winners as Scots
come up short in finale
-
Gregor Townsend conceded Scotland had been beaten by the better side as
France powered past them in the second half to land the Six Nations
championship.
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment