Mshambuliaji Mkorea, Son Heung-min akishangilia baada ya kuifungia Tottenham Hotspur bao la kwanza dakika ya 47 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Borussia Dortmund kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya usiku wa jana Uwanja wa Wembley mjini London. Mabao mengine ya Spurs yamefungwa na Jan Vertonghen dakika ya 83 na Fernando Llorente dakika ya 86 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup Draw Live: Latest news and updates as Premier League sides wait to
learn their semi-final opponents
-
Follow Mail Sport's live blog of the FA Cup semi-final round draw as the
clubs edge closer and closer to a day out at Wembley.
14 minutes ago
0 comments:
Post a Comment