Mshambuliaji wa Manchester United, Marcus Rashford (kushoto) akiwatoka wachezaji wa Liverpool Sadio Mane na Virgil van Dijk katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford mjini Manchester timu hizo zikitoak sare ya bila kufungana. Liverpool inafikisha pointi 66 katika mechi ya 27 ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi moja tu sasa zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City, wakati United inafikisha pointi 52 baada ya kucheza mechi 27 ikishuka kwa nafasi moja hadi ya tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Result is not what we wanted' - games pile up for Palace
-
The games are piling up for Crystal Palace who face a two-legged play-off
in the Conference League after failing to qualify automatically for the
last 16.
42 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment