Wachezaji wa Manchester City wakifurahia na taji lao la Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup baada ya ushindi wa penalti 4-3 kufuatia sare ya 0-0 ndani ya dakika ya 120 katika fainali nzuri iliyofanyika Uwanja wa Wembley usiku wa jana. Waliofunga penalti za Manchester City ni İlkay Gundogan, Sergio Aguero, Bernardo Silva na Raheem Sterling, wakati Leroy Sane pekee alikosa huku za Chelsea zikifungwa na Azpilicueta, Emerson na Edin Hazard huku Jorginho na David Luiz wakikosa PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
44 minutes ago
0 comments:
Post a Comment