Ross Barkley na Olivier Giroud wakipongezana baada ya wote kuifungia Chelsea katika ushindi wa ugenini wa 2-1 dhidi ya Malmo kwenye mchezo wa kwanza hatua ya 32 Bora Europa League usiku wa jana Uwanja wa Swedbank mjini Malmo. Barkley alifunga dakika ya 30 na Giroud dakika ya 58 kabla ya Anders Christiansen kuifungia Malmo dakika ya 80, huku kocha Maurizio Sarri akishusha presha PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Former Premier League star rushed to hospital for emergency surgery after
falling ill hours before crunch clash
-
The former Chelsea midfielder suffered with severed abdominal pains during
the night after his side arrived in Naples on Saturday ahead of `Sunday's
Serie ...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment