Pedro akishangilia baada ya kuifungia Chelsea bao la kwanza dakika ya 57 kabla ya Kieran Trippier kujifunga dakika ya 84 kuwapa ushindi wa 2-0 The Blues dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Stamford Bridge mjini London na kwa ushindi huo kikosi cha Maurizio Sarri kinafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 kikiendelea kushika nafasi ya sita PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
19 minutes ago
0 comments:
Post a Comment