Kipa Mreno wa Lyon, Anthony Lopes akizuia shuti la mshambuliaji wa Barcelona, Lionel Messi katika mchezo wa kwanza hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya timu hizo zikitoka sare ya bila kufungana, 0-0 usiku wa jana Uwanja wa Groupama mjini Decines-Charpieu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
31 minutes ago
0 comments:
Post a Comment