Henrikh Mkhitaryan akishangilia baada ya kuifungia bao la pili Arsenal dakika ya 17 kufuatia Alexandre Lacazette kufunga la kwanza dakika ya sita The Gunners ikiilaza 2-0 Southampton katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates mjini London. Kwa ushindi huo, Arsenal inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 27 ikirejea nafasi ya nne kwa kuizidi pointi moja Manchester United ambayo leo imelazimishwa sare ya bila kufungana na Liverpool Uwanja wa Old Trafford PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Kylian Mbappe reveals Cristiano Ronaldo gives him 'a lot of advice' as he
admits it's 'very special' to equal Real Madrid legend's debut season goal
tally after brace against Leganes
-
Kylian Mbappe has revealed that he often receives words of advice from
Cristiano Ronaldo while expressing his pride at matching the amount of
goals the Por...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment