Mbrazil Willian akishangilia baada ya kuifungia Chelsea mabao mawili dakika za 26 na 83 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Sheffield Wednesday kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England uliofanyika Uwanja wa Stamford Bridge mjini London. Bao la pili lilifungwa na Callum Hudson-Odoi na kwa ushindi huo The Blues wanakwenda Raundi ya Tano PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment