Kiungo Mfaransa, Paul Pogba akishangilia na wenzake baada ya kuifungia Manchester United bao la kwanza kwa penalti dakika ya 27 katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Brighton and Hove Albion kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Old Trafford. Bao la pili la Man United limefungwa na mshambuliaji Marcus Rashford dakika ya 42, wakati la Brighton limefungwa na Pascal Gross dakika ya 72 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Anambra students back Soludo’s re-election with N2m donation
-
Governor announces bursary for indigenous students From Aloysius Attah,
Onitsha Anambra State students have thrown their weight behind Governor
Chukwuma ...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment