Nyota wa Argentina, Lionel Messi akishangilia na Jordi Alba baada ya kuifungia Barcelona bao la pili dakika ya 68 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya wenyeji, Girona kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa Manispaa ya Montilivi mjini Girona kufuatia Nelson Semedo kufunga la kwanza dakika ya tisa. Kwa ushindi huo, Barca inafikisha pointi 49 na kuendelea kuongoza La Liga kwa pointi 10 zaidi ya mahasimu wao, Real Madrid walio katika nafasi ya tatu, nyuma ya Atletico Madrid wenye pointi 44 baada ya timu zote kucheza mechi 21 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
43 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment