Gabriel Jesus wa Manchester City (katikati) akijaribu kupasua katikati ya mabeki wa Burton, huku Nigel Clough akijaribu kumzuia katika mchezo wa marudiano wa Nusu Fainali ya Kombe la Ligi England jana Uwanja wa Pirelli, Burton-upon-Trent mjini Staffordshire. Man City ilishinda 1-0, bao pekee la Sergko Aguero dakika ya 26 akimalizia pasi ya Riyad Mahrez, hivyo kufuzu kwa ushindi wa jumla wa 10-0 baada ya kushinda 9-0 kwenye mchezo wa kwanza nyumbani na sasa itakutana na mshindi wa jumla kati ya Chelsea na Tottenham Hotspur zinazorudiana leo uwanja wa Stamford Bridge, London kufuatia Spurs kushinda 1-0 Wembley PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Dangote, Adenuga, Rabiu, Otedola named in Forbes’ 2025 African billionaires
list
-
By Seyi Babalola Nigerian business moguls Aliko Dangote, Mike Adenuga,
Abdulsamad Rabiu, and Femi Otedola have secured spots in Forbes’ 2025 list
of Afri...
56 minutes ago
0 comments:
Post a Comment