Mshambuliaji Sadio Mane akishangilia baada ya kuifungia Liverpool bao la kuongoza dakika ya tatu 1-1 kabla ya Harry Maguire kuisawazishia Leicester City katika sare ya 1-1 kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England usiku wa jana Uwanja wa Anfield. Liverpool inafikisha pointi 61 baada ya sare ya jana katika mechi ya 24, ikiendelea kuongoza Ligi Kuu kwa pointi tano zaidi ya mabingwa watetezi, Manchester City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
We have to remember England are world's best - Lynn
-
While Wales were encouraged by their showing in Scotland, their 11-try
mauling by England was a timely reminder of just how much they need to
improve.
25 minutes ago
0 comments:
Post a Comment