Alexandre Lacazette akishangilia baada ya kuifungia bao la kwanza Arsenal dakika ya 14 katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Chelsea kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Emirates. Bao la pili la Arsenal limefungwa na Laurent Koscielny dakika ya 39 na ushindi huo unaifanya Arsenal ifikishe pointi 44 baada ya kucheza mechi 23, ikiendelea kushika nafasi ya tano kwenye msimamo wa Ligi Kuu, sasa ikizidiwa pointi tatu na Chelsea iliyo nafasi ya nne PICHA ZAIDI GONGA HAPA
'Felt like humiliation' - Egypt reacts to Salah's Liverpool row
-
Mohamed Salah's Liverpool row felt like "humiliation" for Egyptian fans,
who are rallying behind their star man before the Africa Cup of Nations
begins.
50 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment