Wachezaji wa Yanga SC kabla ya mechi ya Nusu Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati dhidi ya wenyeji, Express FC ‘Read Eagles’ mwaka 1993 Uwanja wa Nakivubo mjini Kampala, Uganda. Yanga ilishinda 3-1. Kutoka kulia ni Kenneth Mkapa, Steven Nemes, David Mwakalebela, Zamoyoni Mogella, Edibily Lunyamila, Abubakar Salum ‘Sure Boy’, Mohammed Hussein ‘Mmachinga’, Steven Mussa (marehemu), Method Mogella (marehemu), Mtwa Kihwelo, Issa Athumani (marehemu), Suleiman Mkati, Willy Mtendamema, Willy Martin, Said Mwamba ‘Kizota’ (marehemu), Riffat Said (marehemu), Dk. Shecky Mngazija na kocha Nzoyisaba Tauzany (marehemu). Yanga SC iliibuka bingwa wa michuano hiyo baada ya kuifunga na SC Villa 2-1 kwenye fainali
Cooper Flagg and Duke punch their ticket to March Madness Final Four in
85-65 demolition of Alabama
-
JAKE FENNER IN NEWARK, NEW JERSEY: Sorry, America. They're good again. They
really are just that good again. Duke is off to the Final Four for the 18th
tim...
40 minutes ago
0 comments:
Post a Comment