Ousmane Dembele akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 30 na 31 katika ushindi wa 3-0 dhidi ya Levante usiku wa jana kwenye mchezo wa marudiano wa hatua ya 16 Bora Kombe la Mfalme Hispania, maarufu kama Copa del Rey Uwanja wa Camp Nou jana. Bao la tatu lilifungwa na Lionel Messi dakika ya 54 na kwa matokeo hayo, Barcelona inatinga Robo Fainali kwa ushindi wa jumla wa 4-2 kufuatia kufungwa 2-1 kwenye mchezo wa kwanza Uwanja wa Ciudad de Valencia Januari 10 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
32 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment