Wachezaji wa Crystal Palace wakimpongeza mwenzao, Connor Wickham baada ya kufunga bao la kwanza dakika ya tisa katika ushindi wa 2-0 dhidi ya Tottenham Hotspur kwenye mchezo wa Raundi ya Nne Kombe la FA England usiku wa jana Uwanja wa Selhurst Park mjini London. Bao la pili lilifungwa na Andros Townsend kwa penalti dakika ya 34 baada ya Kyle Walker-Peters kuushika mpira kwa mkono kwenye boksi, kabla ya Spurs nao kukosa penalti kufuatia mkwaju wa Kieran Trippier kutoka nje PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
23 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment