Mshambuliaji Mfaransa, Karim Benzema akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Real Madrid dakika za nne na 45 na ushei katika ushindi wa 4-2 dhidi ya Espanyol kwenye mchezo wa La Liga jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat. Mabao mengine ya Real Madrid yalifungwa na Sergio Ramos dakika ya 15 na Gareth Bale dakika ya 67, wakati ya Espanyol yamefungwa na Leo Baptistao dakika ya 25 na Roberto Rosales dakika ya 81. Pamoja na ushindi huo, Real Madrid inabaki nafasi ya tatu kwa pointi zake 39 baada ya kucheza mechi 21, nyuma ya mahasimu wao wa Jiji, Atletico Madrid wenye pointi 44, ikiendelea kuzidiwa pointi 10 na vinara, Barcelona PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Crystal Palace 2-2 KuPS: How did the Eagles' youngsters fare, which star
took his chance AGAIN - and was Oliver Glasner right to prioritise the
Premier League?
-
WILL PICKWORTH AT SELHURST PARK: The draw meant the Eagles finished 10th in
the Conference League table, and they will now be forced into two extra
fixture...
35 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment