Frenkie de Jong akikabidhiwa jezi ya Barcelona na Rais wa klabu hiyo, Josep Maria Bartomeu baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 65 kutoka Ajax na kuifanya klabu hiyo ya Katalunya izipiku Manchester City na Paris Saint-Germain zilizokuwa zinamtaka pia kiungo huyo. Lakini de Jong aliyesaini mkataba wa miaka mitano atabakia Amsterdam hadi mwishoni mwa msimu ndipo atajiunga na klabu yake mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
FA Cup: We must be extra focused against True Democracy to avoid an upset -
Kotoko coach Prosper Ogum
-
The head coach of Asante Kotoko, Prosper Narteh Ogum has charged his
players to go into the MTN FA Cup tie against True Democracy on Sunday with
all seriou...
48 minutes ago
0 comments:
Post a Comment