Frenkie de Jong akikabidhiwa jezi ya Barcelona na Rais wa klabu hiyo, Josep Maria Bartomeu baada ya kukamilisha uhamisho wake wa Pauni Milioni 65 kutoka Ajax na kuifanya klabu hiyo ya Katalunya izipiku Manchester City na Paris Saint-Germain zilizokuwa zinamtaka pia kiungo huyo. Lakini de Jong aliyesaini mkataba wa miaka mitano atabakia Amsterdam hadi mwishoni mwa msimu ndipo atajiunga na klabu yake mpya PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ohio coach Brian Smith, 45, fired for affair with student in new scandal
amid Sherrone Moore's Michigan crisis
-
Brian Smith, 45, was dismissed by the school on Wednesday for what was
described 'serious professional misconduct,' shortly after he was placed on
administ...
33 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment