Baadhi ya wachezaji wa Pilsner FC ya Dar es Salaam, iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) iliyomaliza nafasi ya pili kwenye Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1989, nyuma ya Yanga SC waliobuka mabingwa. Kutoka kulia Charles Msami (marehemu), Abdallah Suleiman ‘Kaburu’, Frank Muhando, Athanas Michael, Suleiman Mkati, Andrew Godwin, Rajab Rashid ‘Double R’ (marehemu) na Abdallah Sumbwa (marehemu).
Predictor review: Find out how our experts fared in gameweek 15 with £1,000
up for grabs each week
-
How did you get on against our expert in Daily Mail Sport's
unmissable Predictor challenge in gameweek 15 of the Premier League?
31 minutes ago



.png)
0 comments:
Post a Comment