Baadhi ya wachezaji wa Pilsner FC ya Dar es Salaam, iliyokuwa inamilikiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) iliyomaliza nafasi ya pili kwenye Ligi Daraja la Kwanza (sasa Ligi Kuu) Tanzania Bara mwaka 1989, nyuma ya Yanga SC waliobuka mabingwa. Kutoka kulia Charles Msami (marehemu), Abdallah Suleiman ‘Kaburu’, Frank Muhando, Athanas Michael, Suleiman Mkati, Andrew Godwin, Rajab Rashid ‘Double R’ (marehemu) na Abdallah Sumbwa (marehemu).
How Aussie cricket stars will make history and turn Shane Warne's dream
into a reality with something the MCG has NEVER seen before
-
Shane Warne had a big wish for Test cricket at the MCG prior to his tragic
and premature death. Now Australia is set to make that dream a reality
while mak...
38 minutes ago
0 comments:
Post a Comment