Xherdan Shaqiri akishangilia kibosi baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 73 na 80 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Liverpool inayofikisha pointi 45 na kupanda kileleni ikiizidi kwa pointi moja Manchester City, limefungwa na Sadio Mane dakika ya 24, wakati la Man United limefungwa na Jesse Lingard dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Ryan Giggs and Rio Ferdinand name the Man City star who is '100%' a Man
United player because he 'wants it'
-
The Red Devils legends discussed a number of topics, including current
affairs such as the form of Alejandro Garnacho, the best midfielders in the
Premier ...
23 minutes ago
0 comments:
Post a Comment