Xherdan Shaqiri akishangilia kibosi baada ya kuifungia mabao mawili Liverpool dakika za 73 na 80 katika ushindi wa 3-1 dhidi ya Manchester United kwenye mchezo wa Ligi Kuu ya England leo Uwanja wa Anfield. Bao lingine la Liverpool inayofikisha pointi 45 na kupanda kileleni ikiizidi kwa pointi moja Manchester City, limefungwa na Sadio Mane dakika ya 24, wakati la Man United limefungwa na Jesse Lingard dakika ya 33 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How footy star Troy Selwood showed his incredible passion for the game in
last interview just before his tragic death aged 40
-
Throughout his career, the Brisbane Lions tagger never took a backward
step. He was courageous, showed an elite footballing intelligence and
competed for e...
9 minutes ago
0 comments:
Post a Comment