Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus dakika ya pili akimalizia pasi ya Paulo Dybala na dakika ya 65 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sampdoria kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Sampdoria limefungwa na Fabio Quagliarella kwa penalti dakika ya 33 na kwa ushindi huo, Juve inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 19 ikiendelea kuongoza Serie A kwa pointi tisa zaidi ya Napoli wanaofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
White men 'blocked' from applying for jobs at Premier League clubs
including Man United and Liverpool, as they advertise 'only to women and
ethnic minority candidates'
-
The controversy centres on a league-funded scheme designed to boost
representation in full-time coaching positions. Known as the Coach
Inclusion and Divers...
36 minutes ago
0 comments:
Post a Comment