Cristiano Ronaldo akishangilia baada ya kuifungia mabao mawili Juventus dakika ya pili akimalizia pasi ya Paulo Dybala na dakika ya 65 kwa penalti katika ushindi wa 2-1 dhidi ya Sampdoria kwenye mchezo wa Serie A Uwanja wa Allianz mjini Torino. Bao la Sampdoria limefungwa na Fabio Quagliarella kwa penalti dakika ya 33 na kwa ushindi huo, Juve inafikisha pointi 53 baada ya kucheza mechi 19 ikiendelea kuongoza Serie A kwa pointi tisa zaidi ya Napoli wanaofuatia katika nafasi ya pili PICHA ZAIDI GONGA HAPA
How Aussie cricket stars will make history and turn Shane Warne's dream
into a reality with something the MCG has NEVER seen before
-
Shane Warne had a big wish for Test cricket at the MCG prior to his tragic
and premature death. Now Australia is set to make that dream a reality
while mak...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment