Kiungo N'Golo Kante akipongezwa na wachezaji wenzake, Ross Barkley na Eden Hazard baada ya kuifungia bao pekee Chelsea dakika ya 51 ikiilaza 1-0 Crystal Palace Uwanja wa Selhurst Park katika mchezo wa Ligi Kuu ya England leo. Chelsea inafikisha pointi 43 kwa ushindi huo kwenye mechi ya 20, ingawa itaendelea kukaa nafasi ya nne nyuma ya Tottenham Hotspur yenye pointi 45 za mechi 20 pia PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Paul Scholes reveals the 'odd' thing Ruben Amorim does at Man United that
he wouldn't be able to cope with
-
Manchester United legend Paul Scholes has raised concerns over one of Ruben
Amorim 's key coaching methods since he took over at Old Trafford.
30 minutes ago
0 comments:
Post a Comment