Kipa Arijanet Muric (kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuokoa penalti mbili katika ushindi wa penalti 3-1 kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Leicester City usiku wa jana Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Kevin De Bruyne alianza kuifungia Manchester City dakika ya 14, kabla ya Marc Albrighton kuisawazishia Leicester dakika ya 73 kabla ya Muric kuokoa penalti za James Maddison na Caglar Soyuncu kuivusha Man City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Cristiano Ronaldo hits out at 'f***ing clueless' coaches he's played for -
as he appears to take fresh swipe at Erik ten Hag after bitter Man United
exit
-
Having spent over two decades at the highest level, Ronaldo has worked
under some of the sport's biggest names, including Sir Alex Ferguson , Jose
Mourinho...
11 minutes ago
0 comments:
Post a Comment