Kipa Arijanet Muric (kushoto) akipongezwa na wachezaji wenzake wa Manchester City baada ya kuokoa penalti mbili katika ushindi wa penalti 3-1 kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya Leicester City usiku wa jana Uwanja wa King Power kwenye mchezo wa Robo Fainali Kombe la Ligi England, maarufu kama Carabao Cup. Kevin De Bruyne alianza kuifungia Manchester City dakika ya 14, kabla ya Marc Albrighton kuisawazishia Leicester dakika ya 73 kabla ya Muric kuokoa penalti za James Maddison na Caglar Soyuncu kuivusha Man City PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Andrew Flintoff's former England teammate reveals he 'couldn't stop crying'
after seeing star's facial injuries following horror car crash
-
Andrew Flintoff's former England team-mate Steve Harmison has revealed he
'couldn't stop crying' after seeing the extensive facial injuries the star
suffer...
10 minutes ago
0 comments:
Post a Comment