Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu dakika za 43, 47, na 60 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Levante usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia, hiyo ikiwa hat trick yake ya 31 katika La Liga. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez dakika ya 35 na Gerard Pique dakika ya 88 na sasa timu hiyo inafikisha pointi 34 baada ya kucheza mechi 16, sasa ikizizidi kwa pointi tatu Sevilla na Atletico Madrid zinazofuatia kwenye nafasi ya pili na ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Let the party begin! Thousands of Liverpool fans flood the city to
celebrate historic 20th league title - as Trent Alexander-Arnold, Mo Salah
and Co rejoice on the pitch at Anfield
-
Supporters scaled the railings by the Kop, waved scarves from rooftops and
even clambered onto a passing Greggs van to get the best view of the red
sea str...
33 minutes ago
0 comments:
Post a Comment