Lionel Messi akishangilia baada ya kuifungia Barcelona mabao matatu dakika za 43, 47, na 60 katika ushindi wa 5-0 dhidi ya wenyeji, Levante usiku wa jana Uwanja wa Ciudad de Valencia, hiyo ikiwa hat trick yake ya 31 katika La Liga. Mabao mengine ya Barca yamefungwa na Luis Suarez dakika ya 35 na Gerard Pique dakika ya 88 na sasa timu hiyo inafikisha pointi 34 baada ya kucheza mechi 16, sasa ikizizidi kwa pointi tatu Sevilla na Atletico Madrid zinazofuatia kwenye nafasi ya pili na ya tatu PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Black Stars coach Otto Addo meets Belgium-born midfielder Pierre Dwomoh
-
Head coach of the senior national team, the Black Stars has met talented
Belgium youth international Pierre Dwomoh following his visit to
England. Addo is...
46 minutes ago
0 comments:
Post a Comment