Lionel Messi akiruka juu kushangilia baada ya kuifungia mabao mawili Barcelona dakika za 17 na 65 katika ushindi wa 4-0 dhidi ya wenyeji, Espanyol usiku wa jana Uwanja wa RCDE mjini Cornella de Llobregat katika mchezo wa La Liga. Mabao mengine yalifungwa na Ousmane Dembele dakika ya 26 na Luis Suarez dakika ya 45 PICHA ZAIDI GONGA HAPA
Jason Day: 'Gutted' Aussie golfer who was in the box seat to challenge Rory
McIlroy at the Masters pinpoints where it all went wrong
-
Jason Day finished tied for eighth at the Masters, delivering his best
result at the tournament in six years, but was left frustrated after missed
putts an...
43 minutes ago
0 comments:
Post a Comment